2018
Kumkumbuka Yesu
February 2018


Watoto

Kumkumbuka Yesu

Maandiko yanafundisha kwamba tunapaswa daima kumkumbuka Yesu Kristo. Hii humaanisha kwamba tunapaswa kufikiria sana kumhusu Yeye sana na kufuata mfano Wake.

Weka picha ya Yesu mahali ambapo utaweza kuiona kila mara.

“Na ikiwa mnanikumbuka daima Roho yangu itukuwa nanyi” (3 Nefi 18:7).