2011
Nitajitayarisha Ningali Kijana
Januari 2011


Watoto

Nitajitayarisha Ningali Kijana

Ili kuwasaidia watoto kukumbuka mwito wa Rais Monson wa kujitayarisha kuhudumu misheni, fikiria juu ya kutengeneza cheti kilicho na herufi chini kwa watoto wako kutia sahihi na kuweka kama ukumbusho, labda kwenye ukuta wao au kwenye jarida zao.

Nitajitayarisha

Rais Thomas S. Monson aliniita kujitayarisha kuhudumu misheni Nita:

  • Jiweka msafi na halisi na kuwa mstahiki kumwakilisha Bwana.

  • Dumisha afya na nguvu zangu.

  • Omba na kujifunza maandiko.

Nitajitayarisha kuhudumu misheni.

(sahihi)