2021
Je, Wanipenda Mimi Zaidi Ya Hawa?””
Novemba 2021


“Je, Wanipenda Mimi Zaidi Ya Hawa?”,” Kwa Ajili ya Nguvu Kwa Vijana, Nov. 2022.

Kikao cha Jumamosi Jioni

Je, Wanipenda Mimi Zaidi Ya Hawa?””

Dondoo

Picha
Ulimwengo

Je, unajiuliza Yesu alikuwa akimaanisha nini alipomwuliza Petro, “Je, wanipenda mimi kuliko hawa?” [Yohana 21:15]. …

Je, mambo ya ulimwengu huu yanatuletea furaha, shangwe, na amani ambayo Mwokozi alitoa kwa wanafunzi Wake na anayotupatia sisi? Yeye pekee anaweza kutuletea furaha ya kweli, shangwe, na amani kupitia kumpenda Yeye na kufuata mafundisho Yake. …

Wakati tutapogundua maana kamili ya swali hili, tunaweza kuwa wanafamilia wazuri zaidi, majirani, raia, waumini wa Kanisa, na wana na mabinti wa Mungu. …

Baba wa Mbinguni hivyo alitupenda sisi kwamba Aliandaa mpango Wake wa ukombozi pamoja na Mwokozi kama mtu mkuu. …

… Tunahitaji kuamini katika Yesu na mpango wa Mungu wa furaha. Kuamini ni kupenda na kumfuata Mwokozi wetu na kutii amri, hata kati ya majaribu na migongano. …

Hatuwezi kupoteza upendo wetu kwa ajili ya na tegemeo katika Yesu, hata kama tunakumbana na changamoto zinazoonekana kutushinda kabisa. Baba wa Mbinguni na Yesu hawatatusahau kamwe. Wanatupenda. …

Siku zote hatuna budi kukumbuka kwamba furaha yetu ya kweli inategemea juu ya mahusiano yetu na Mungu, pamoja na Yesu Kristo, na sisi wenyewe.

Njia moja ya kuonesha upendo wetu ni kwa kuunganisha familia, marafiki, na majirani katika kufanya baadhi ya mambo madogo kuhudumiana vizuri zaidi sisi kwa sisi. Fanya mambo yanayoifanya dunia hii kuwa mahali pazuri zaidi.

Mambo gani unayoweza kufanya ndani ya maisha yako mwenyewe kuonesha kwamba unampenda Bwana kwanza?