2023
Johannesburg, Afrika Kusini
Machi 2023


“Johannesburg, Afrika Kusini,” Liahona, Machi 2023.

Kanisa Liko Hapa

Johannesburg, Afrika Kusini

Picha
ramani ya ulimwengu ikiwa na duara kuzunguka Afrika Kusini
Picha
mtaa ndani ya Johannesburg

Picha kupitia Getty Images

Wamisionari wa kwanza wa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho walifika Afrika Kusini mnamo 1852. Tangu mwaka huo na kuendelea, waumini wameshinda vikwazo vya kimbari na kiutamaduni ili kujenga umoja na urafiki. Leo, Kanisa katika nchi ya Afrika Kusini lina:

  • Waumini 69,400 (kwa makadirio)

  • Vigingi 17, kata na matawi 195, misheni 4

  • Mahekalu 2 (Johannesburg na Durban) na 1 limetangazwa (Cape Town)

Kubarikiwa na Injili

Akiwa amekumbatiwa na mpwa wake mkuu Thuto (kushoto) na mpwa wake Lizzie Mohodisa (kulia), Dimakatso Ramaisa (katikati) anasema kuishi injili pamoja kunabariki vizazi vitatu.

Picha
Mwanamke akiwa pamoja na mpwa wake na mpwa wake mkuu

Picha imepigwa na Papama Tungela

Zaidi kuhusu Kanisa Afrika Kusini

Picha
placeholder altText

Usomaji binafsi wa maandiko ni sehemu ya maisha kwa Watakatifu wa Siku za mwisho wa Afrika Kusini, kama ilivyo kwa Watakatifu wa Siku za mwisho kote ulimwenguni.

Picha
placeholder altText

Kujifunza maandiko kama familia pia ni kipaumbele cha juu kwa waumini wa Kanisa Afrika Kusini

Picha
placeholder altText

Karibu na Cape Town, familia inatembea ufukoni, pamoja na mlima ukionekana upande wa nyuma.

Picha
placeholder altText

Kundi la wanawake linakusanyika kando ya Hekalu la Durban Afrika Kusini kabla ya kuwekwa kwake wakfu.

Picha
placeholder altText

Baba huko Johannesburg, Afrika Kusini, anawafunza watoto wake kuhusu nyenzo za Kanisa zinazopatikana mtandaoni.

Picha
placeholder altText

Hekalu la Durban Afrika Kusini liliwekwa wakfu mnamo Februari 16, 2020.

Picha
placeholder altText

Mzee Ronald A. Rasband pamoja na mkewe wakisalimiana na waumini baada ya mkutano huko Afrika Kusini.