2013
Picha ya Rais
Aprili 2013


Picha ya Rais

Wilford Woodruff

Wilford Woodruff alihudumu misheni kule Great Britain miaka ya 1840s. Kwa sababu ya utumishi wake, zaidi ya watu 1,000 walibatizwa Wilford Woodruff alihudumu baadaye kama rais wa Hekalu la St. George Utah. Kama Rais wa Kanisa, alitetea kwamba Utah ifanywe kuwa jimbo. Alipokea pia ufunuo na kutoa Tamko Rasmi 1 likiwaelekeza Watakatifu kuacha kuwa na ndoa za mitala.

Picha
Wilford Woodruff

Tamko Rasmi

Mchoro na Robert T. Barrett