2020
Nairobi, Kenya
Aprili 2020


Kanisa Liko Hapa

Nairobi, Kenya

Picha
Nairobi, Kenya

Wakati Urejesho unaoendelea unapoendelea, injili inapatikana kote ulimwenguni. Kenya ni mfano wa ukuaji wa Kanisa katika Afrika.

14,143

waumini

2

vigingi

48

mikusanyiko

1

misheni

5

vituo vya historia ya familia

78

asilimia ya idadi ya watu ni Wakristo

1979

Waongofu wa kwanza kutoka eneo husika wanajiunga na Kanisa.

1988

Mfungo maalum unachangisha fedha za kutuliza kiangazi katika vijiji 15.

2001

Kigingi cha Nairobi kinaanzishwa.

2020

Ofisi za eneo Nairobi zinaanza kufanya kazi kikamilifu, zikihudumia waumini 100,000 katika mataifa 18 ya Afrika ya kati.

Picha kutoka Getty Images