Misaada ya Kujifunza
Maombolezo, Kitabu cha


Maombolezo, Kitabu cha

Kitabu katika Agano la Kale, kilichoandikwa na Yeremia. Ni mkusanyiko wa mashairi au nyimbo za huzuni kwa sababu ya anguko la Yerusalemu na taifa la Israeli. Kitabu hiki kiliandikwa baada ya anguko la mji huo kiasi cha mwaka 586 K.K.