Misaada ya Kujifunza
Mnyenyekevu, Unyenyekevu


Mnyenyekevu, Unyenyekevu

Mtu kuwa mpole na mwenye kufundishika, au hali ya kuwa mpole na mwenye kufundishika. Unyenyekevu ni pamoja na kutambua utegemezi wetu kwa Mungu na kutamani kujiweka katika mapenzi Yake.