Kuhani, Ukuhani wa Haruni Ona pia Haruni, Kaka wa Musa; Kuhani Mkuu; Ukuhani wa Haruni Ofisi ya Ukuhani wa Haruni. Hapo zamani, ofisi ya juu kabisa katika Ukuhani wa Walawi ilishikiliwa na Haruni na wazao wake tu. Kristo alipotimiza torati ya Musa, kizuizi hiki kiliondolewa. Kazi za Kuhani katika Kanisa la urejesho zinaelezwa, M&M 20:46–52.