Misaada ya Kujifunza
Kiburi


Kiburi

Upungufu au ukosefu wa unyenyekevu au kutofundishika. Kiburi huwaweka watu katika upinzani wao kwa wao na kwa Mungu. Mtu mwenye majivuno hujiweka yeye mwenyewe juu ya wale wanaomzunguka na hufuata mapenzi yake zaidi kuliko mapenzi ya Mungu. Makuu, husuda, ugumu wa moyo, na maringo pia ni tabia za mtu mwenye majivuno.