Misaada ya Kujifunza
Kutawaza, Kutawazwa


Kutawaza, Kutawazwa

Kuteua au kutunuku mamlaka au ofisi. Ili kutumia mamlaka katika Kanisa la Bwana, mtu lazima aitwe na Mungu, kwa njia ya unabii, na kuwekewa mikono na wale walio katika mamlaka (M ya I 1:5). Ingawa mtu anaweza kupokea ukuhani kwa kutawazwa, atayatumia mamlaka hayo chini ya maelekezo ya wale wenye kushikilia funguo hizo kwa mamlaka hiyo.