Misaada ya Kujifunza
Wazazi


Wazazi

Akina baba na akina mama. Waume na wake wenye kustahili ambao wameunganishwa kiusahihi katika ndoa katika hekalu la Mungu wanaweza wakatimiza nafasi yao kama wazazi kwa milele yote. “Wazazi wana wajibu mtakatifu wa kuwalea watoto wao katika upendo na haki, kuwapa mahitaji yao ya kimwili na kiroho, na kuwafundisha kupendana na kutumikiana, kuzishika amri za Mungu, na kuwa raia wenye kuheshimu sheria za nchi yoyote wanayoishi” (“Familia: Tangazo kwa Ulimwengu,” Ensign, Nov. 2010, 129).