Misaada ya Kujifunza
Ukuhani


Ukuhani

Mamlaka na uwezo ambao Mungu humpa mwanadamu ili atende katika mambo yote kwa ajili ya wokovu wa mwanadamu (M&M 50:26–27). Waumini wa Kanisa wanaume walio na ukuhani wametengwa katika akidi nao wamepewa mamlaka ya kufanya ibada na shughuli fulani za kiutawala katika Kanisa.